Habari za Punde

Benki ya NMB Tawi la Pemba Watowa Mafunzo Kwa Wataje wao Kupitia Nmb Business Club.

Kaimu Meneja wa Biashara Benki ya NMB Zanzibar Bi.Naima Said Shaame, akizungumza wakati akifungua mkutano  wa Business Club kwa baadhi ya Wafanyabiashara Wateja wa Benki ya NMB Kisiwani Pemba uliofanyika katika ukumbi wa Chakechake Pemba. 
MENEJA Mwandamizi kitengo cha Biashara NMB Christopher Mgani, akifungua mkutano wa wafanyabaishara wanaotumia huduma za NMB Pemba, mkutano uliofanyika mjini Chake Chake
MDAU wa NMB kutoka Mahakama Luciano Nyange Makoi akitoa ushuhuda juu ya ujazaji wa fomu za mikopo za NMB kwa wafanyabiashara pale wanapotaka kwenda kukopa, katika mkutano uliofanyika mjini Chake Chake
Katibu wa klabu ya wafanyabiashara wa NMB Pemba Rabia Omar Said, akizungumza katika mkunao wa wafanyabiashara wanaotumia huduma za NMB Pemba, mkutano uliofanyika mjini Chake Chake.
MFANYABIASHARA kutoka Wete Said Ali Mussa, akiuliza swali katika mkutano wa wafanyabiashara wanaotumia huduma za NMB Pemba, mkutano uliofanyika mjini Chake Chake
KAIMU Meneja wa biashara za NMB Zanzibar Naima Said Shaame, akiangalia hati ya haki ya matumizi ya ardhi wakati wa uwasilishaji wa mara juu ya ardhi, katika mkutano wa wafanyabiashar uliofanyika mjini Chake Chake.
MFANYABIASHARA kutoka Wesha Naima Mohamed, akiuliza swali katika mkutano wa wafanyabiashara wanaotumia huduma za NMB Pemba, mkutano uliofanyika mjini Chake Chake
AFISA Usajili Ardhi Yussuf Hamad Kombo, akionesha kadi ambayo hupatiwa mwananchi baada ya eneo lake la ardhi kusajiliwa serikalini, katika mkutano wa wafanyabiashara wanaotumia huduma za NMB Pemba, mkutano uliofanyika mjini Chake Chake.
MFANYABIASHARA kutoka Wesha Naima Mohamed, akiuliza swali katika mkutano wa wafanyabiashara wanaotumia huduma za NMB Pemba, mkutano uliofanyika mjini Chake Chake.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.