WALIMU wa Skuli za Msingi Kisiwani Pemba, wakishiriki katika mafunzo ya Jifunze kwa hatua yaliyofanyika katika kituo cha science Pujini Wilaya ya Chake Chake Pemba, mafunzo yahoo yaliyotolewa na taasisi ya Milele Zanzibar Foundation.(PICHA NA SAID ABDULRAHMAN PEMBA)
WALIMU
wa Skuli za Msingi Kisiwani Pemba, wakishiriki katika mafunzo ya Jifunze
kwa hatua yaliyofanyika katika kituo Cha science Pujini Wilaya ya Chake Chake
Pemba, mafunzo yahoo yaliyotolewa na taasisi ya Milele Zanzibar Foundation.(PICHA NA SAID ABDULRAHMAN PEMBA)
MRATIB
wa Milele Zanzibar Foundation Abdalla Said Abdalla, akizungumza akitoa juu ya mafunzo
ya Jifunze jinsi yaliyoandaliwa taasisi ya MZF kwa walimu wa skuli za msingi,
huko katika kituo Cha science Pujini Wilaya ya Chake Chake Pemba chini ya
ufadhili wa MZF.(PICHA NA SAID
ABDULRAHMAN, PEMBA)
MENEJA
wa Miradi ya elimu kutoka taasisi ya Milele Zanzibar Foundation Eshe Haji
Ramadhan, akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo kwa walimu wa Skuli za
Msingi wa Kisiwani Pemba, huko katika kituo Cha science Pujini Wilaya ya Chake
Chake Pemba. (PICHA NA SAID ABDULRAHMAN,
PEMBA)
MRATIBU
wa Skuli za Sekondari Pemba Suleiman Hamad Suleiman, akifungua mafunzo ya Siku
10 kwa walimu wa Skuli za Msingi Kisiwani Pemba, juu ya Jifunze kwa hatua
ambapo mafunzo hayo yamefanyika katika kituo Cha science Pujini Wilaya ya Chake
Chake Pemba.(PICHA NA SAID ABDULRAHMAN,
PEMBA)
No comments:
Post a Comment