Mawaziri, Makatibu wakuu na viongozi mbalimbali wakiwa katika picha ya
pamoja mara baada ya kumalizika kwa M Mkutano wa Mawaziri wa Nchi Wanachama wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki wa Sekta ya Mazingira na Maliasili uliofanyika
katika Ukumbi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki jijini Arusha
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Khamis
Hamza Khamis akizungumza wakati wa Mkutano wa Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Jumuiya
ya Afrika Mashariki wa Sekta ya Mazingira na Maliasili uliofanyika katika Ukumbi
wa Jumuiya ya Afrika Mashariki jijini Arusha.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Mary Masanja akitoa neno wakati
wa Mkutano wa Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wa
Sekta ya Mazingira na Maliasili uliofanyika katika Ukumbi wa Jumuiya ya Afrika
Mashariki jijini Arusha.
Waziri wa Mazingira na Maliasili wa Kenya Mhe. Keriako Tobiko akiongoza Mkutano
wa Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wa Sekta ya
Mazingira na Maliasili uliofanyika katika Ukumbi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
jijini Arusha.
Ujumbe kutoka Tanzania wakishiriki Mkutano wa Mawaziri wa Nchi Wanachama
wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wa Sekta ya Mazingira na Maliasili uliofanyika
katika Ukumbi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki jijini Arusha.
Mawaziri,
Makatibu wakuu na viongozi mbalimbali wakiwa katika picha ya pamoja mara baada
ya kumalizika kwa Mkutano wa Mawaziri wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika
Mashariki wa Sekta ya Mazingira na Maliasili uliofanyika katika Ukumbi wa
Jumuiya ya Afrika Mashariki jijini Arusha leo Mei 20, 2022.
(PICHA NA OFISI YA MAKAMU WA RAIS)
No comments:
Post a Comment