Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. Philip Mpango akiwasalimu abiria mbalimbali waliosafiri na
Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) wakati akiwa safarini kutokea Dodoma
kuelekea Dar es salaam leo Tarehe 16 Juni 2022.
ILANI YA CCM UCHAGUZI MKUU UJAO ITAKUWA NA MAJIBU YA CHANGAMOTO ZA
VIJANA-WASIRA
-
Said Mwishehe,Michuzi TV-Kagera
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema
kuwa Chama kinafahamu changamoto ambazo vijana ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment