Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. Philip Mpango akiwasalimu abiria mbalimbali waliosafiri na
Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) wakati akiwa safarini kutokea Dodoma
kuelekea Dar es salaam leo Tarehe 16 Juni 2022.
CCM YATOA MAELEKEZO KWA TAMISEMI KUSIMAMIA UPELEKAJI WALIMU MAENEO YENYE UHITAJI, YASHITUKIA UFAULU GAIRO
-
Na Mwandishi Wetu Michuzi TV - Gairo
CHAMA CHA Mapinduzi ( CCM) kupitia Katibu Mkuu wake Daniel Chongolo kimetoa
maelekezo kwa Wizara ya Nchi, Ofisi ...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment