Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.
Dkt. Philip Mpango pamoja na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango wakizungumza na
Karani wa Sensa Isack Mgosho wakati walipokuwa wakihesabiwa katika Makazi yao
Chanika Jijini Dar es salaam leo tarehe 23 Agosti 2022 kwenye Shughuli ya Sensa
ya Watu na Makazi
No comments:
Post a Comment