RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Balozi wa Shirikisho la Kidemokrasia Jamhuri ya Ethiopia Nchini Tanzania Mhe. Shibru Mamo Kedida, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu leo 10-8-2022.(Picha na Ikulu)
ILANI YA CCM UCHAGUZI MKUU UJAO ITAKUWA NA MAJIBU YA CHANGAMOTO ZA
VIJANA-WASIRA
-
Said Mwishehe,Michuzi TV-Kagera
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amesema
kuwa Chama kinafahamu changamoto ambazo vijana ...
58 minutes ago
No comments:
Post a Comment