RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mzee Ali Ameir Mohammed
alipofika nyumbani kwake Donge Kichavyani Mkoa wa Kaskazini Unguja, kwa
kumsalimia na kumtembelea na kumjulia hali yake.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mzee Ali Ameir Mohammed, aliyewahi
kuwa Mbunge wa Jimbo la Donge, Waziri wa Mambo ya Ndani Tanzania na Naibu
Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, alipofika nyumbani kwake Donge Kichavyani Mkoa wa
Kaskazini Unguja kumjulia hali yake leo 7-8-2022 na (kushoto kwa Mzee Ali )
Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mzee Ali Ameir Mohammed
alipofika nyumbani kwake Donge Kichavyani Mkoa wa Kaskazini Unguja kumtembelea na
kujua hali yake na (kushoto kwa Rais) Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassam
Othman Ngwali
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akishiriki katika dua ikisomwa na Kadhi
Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Hassan Othman Ngwali (kushoto kwa Rais) ya kumuombea
Mzee Ali Ameir Mohammed (kulia) aliyekuwa Mbunge wa Donge, Waziri wa Mambo ya
Ndani ya Nchi Tanzani na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar, baada ya kumaliza
mazungumzo yao alipofika nyumbani kwake Donge Kichavyani, kumtembelea na
kumjulia hali yake.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa Kitabu na Mzee Ali Ameir
Mohammed, kinachozungumzia historia ya Vyama vha TANU na ASP, kabla ya kuzaliwa
kwa Chama cha Mapinduzi,kitabu hicho ameandika yeye kwa ajili ya historia ya
Vizazi vijavyo, baada ya kumaliza mazungumzo yao alipofika nyumbani kwake Donge
Kichavyani Mkoa wa Kaskazini Unguja.
No comments:
Post a Comment