Mshambuliaji wa Timu ya Uhamiaji akijaribi kumpita beki wa Timu ya Malindi wakati wa mchezo wao wa Ligi Kuu ya PBZ Premier League mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Unguja Jijini Zanzibar.Timu hizo zimetoka sare ya bila ya kufungana.0-0.
WADAU WAPONGEZA JUHUDI ZA WAZAZI KUTATUA CHANGAMOTO ZA ELIMU WILAYA YA
MPIMBWE
-
*Sehemu ya wazazi wakiwa katika mikutano na washiriki wa Maadhimisho ya
Juma la Elimu (GAWE) 2025, kwenye ziara katika shule mbalimbali ndani ya
Halma...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment