Habari za Punde

Rais Mhe Samia kukutana na Mabalozi Zanzibar

 



Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afika Mashariki, Mhe. Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk akitoa hotuba kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax katika mkutano wa Mabalozi unaoendelea Zanzibar

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Joseph Sokoine akiwasilisha hotuba yake kwa mabalozi (hawapo pichani). Mkutano huo umeanza leo Zanzzibar na utamalizika tarehe 21 Novemba, 2022. 

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Fatma Rajab akitoa tathmini ya mkutano wa mabalozi unaoendelea Zanzibar 

Sehemu ya mabalozi wakifuatilia kikao

Baadhi ya viongozi kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, wakiongozwa na Naibu Waziri, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (wa kwanza kulia), Katibu Mkuu  Balozi Joseph Sokoine (katikati) na Mkurugenzi wa Idara ya Siasa, Ulinzi na Amani, Balozi Stephen Mbundi wakifuatilia kikao

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.