Katibu Mkuu wa ZFF, Hussein Ahmada, ameongoza Kikao kati ya Viongozi wa Bodi ya Ligi Zanzibar, Maafisa wa Kamati ya Habari na Masoko wa ZFF na Viongozi wa Ngazi ya juu wa TV3 pamoja na Kampuni ya Startimes.
Kikao hicho, kimeazimia makubaliano ya mwisho ya mashirikiano ya kuitangaza (Branding) na kuitafutia Fursa zaidi Ligi Daraja la Kwanza Zanzibar (Kanda ya Unguja na Pemba)
No comments:
Post a Comment