Balozi wa Airtel Tanzania Lucas Mhuvile almaarufu Joti akipokea Tuzo ya Filamu Bora - Ucheshi (Best Comedy) kupitia Tuzo za Filamu Tanzania 2022 zilizofanyika Tarehe 17 Disemba, 2022 jijini Arusha - AICC. Anayemkabidhi ni Raisi wa Shirikisho la Sanaa za Maonesho Bi. Synthia Henjewele.
TET NA TANZANIA AI COMMUNITY KUSHIRIKIANA KUBORESHA UFUNDISHAJI KWA
TEKNOLOJIA YA AI
-
TAASISI ya Elimu Tanzania (TET) imepanga kufanya mafunzo ya kukuza uwezo
kwa wakuza mitaala na walimu nchini kwa kutumia Akili Mnemba (AI) ili
kukuza ufani...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment