Balozi wa Airtel Tanzania Lucas Mhuvile almaarufu Joti akipokea Tuzo ya Filamu Bora - Ucheshi (Best Comedy) kupitia Tuzo za Filamu Tanzania 2022 zilizofanyika Tarehe 17 Disemba, 2022 jijini Arusha - AICC. Anayemkabidhi ni Raisi wa Shirikisho la Sanaa za Maonesho Bi. Synthia Henjewele.
DK.SAMIA:WANANCHI WALIOPISHA UPANUZI UWANJA WA NDEGE KIGOMA WATALIPWA FIDIA
ZAO
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Kigoma
MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM) katika Uchaguzi Mkuu mwaka
huu Rais Dk.Samia Suluhu Hassan amesema fidia ...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment