Habari za Punde

Mkesha wa maadhimisho ya sherehe za miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar viwanja vya Maisara

WANANCHI wakiangalia burudani katika mkesha wa maadhimisho ya sherehe za miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar uliofanyika katika Viwanja vya Maisara Suleiman Jijini Zanzibar. 
MSANII wa kizazi kipya, Angela Amos (Wike) akitoa burudani wakati wa mkesha wa maadhimisho ya sherehe za miaka 59  ya Mapinduzi ya Zanzibar uliofanyika katika Viwanja vya Maisara Suleiman Jijini Zanzibar.
MSANII wa kizazi kipya, Muslih Mmanga (Musloe)akitoa burudani wakati wa mkesha wa maadhimisho ya sherehe za miaka 59  ya Mapinduzi ya Zanzibar uliofanyika katika Viwanja vya Maisara Suleiman Jijini Zanzibar. 
 
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Katiba, Sheria, Utumishi na Utawala Bora, Haroun Ali Suleiman akiwa na viongozi wengine katika mkesha wa maadhimisho ya sherehe za miaka 59 ya Mapinduzi ya Zanzibar uliofanyika katika Viwanja vya Maisara Suleiman Jijini Zanzibar.
MSANII wa kizazi kipya, Rico Single akitoa burudani wakati wa mkesha wa maadhimisho ya sherehe za miaka 59  ya Mapinduzi ya Zanzibar uliofanyika katika Viwanja vya Maisara Suleiman Jijini Zanzibar. 
MSANII wa kizazi kipya, Warid Said (Honey Ella) akitoa burudani wakati wa mkesha wa maadhimisho ya sherehe za miaka 59  ya Mapinduzi ya Zanzibar uliofanyika katika Viwanja vya Maisara Suleiman Jijini Zanzibar. 





 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.