Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakiwa katika Kikao Maalum cha kwanza cha Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Taifa kwa Mwaka 2023 kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Januari, 2023.
Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakipiga makofi wakati wa kumkaribisha Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Samia Suluhu Hassan kuongoza Kikao cha kwanza cha Kamati Kuu Mpya ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi CCM kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Januari, 2023.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao Maalum cha kwanza cha Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Taifa kwa Mwaka 2023 kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Januari, 2023.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Samia Suluhu Hassan, akisisitza jambo wakati alipokuwa akiongoza Kikao cha kwanza cha Kamati Kuu Mpya ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi CCM kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Januari, 2023.
Wajumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakiwa katika Kikao Maalum cha kwanza cha Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM Taifa kwa Mwaka 2023 kilichofanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 14 Januari, 2023.
TAKUKURU MKOA WA DODOMA YAFUATILIA MIRADI YA BILIONI 50 NA KUFANIKIWA
KUOKOA ZAIDI YA MILIONI 13
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa of wa Dodoma Christopher Myava amesema katika
utendaji kazi wa Takukuru mkoani humo katika kipin...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment