Habari za Punde

Rais Dk Hussein Mwinyi mgeni rasmi katika mchezo wa fainali Kombe la Mapinduzi kati ya Mlandege na Singida Big Boys

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Kikosi cha Timu ya Mlandege kabla ya kuaza kwa mchezo wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup 2023, mchezo uliofanyika jana usiku 13-1-2023 katika Uwanja wa Amaan Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Kikosi cha Timu ya Singida Big Stars,kabla ya kuaza kwa mchezo wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup 2023, mchezo uliofanyika jana usiku 13-1-2023 katika Uwanja wa Amaan Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Kocha Mkuu wa Timu ya Singida Big Stars Hans Pluijm kabla ya kuaza kwa mchezo wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup 2023, dhidi ya Timu ya Mlandege mchezo uliofanyika jana usiku 13-1-2023, katika uwanja wa Amaan.Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.(Picha na Ikulu)
KIKOSI cha Timu ya Mlandege Mabingwa wa Timu ya Mapinduzi Cup 2023.mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Unguja Wilaya ya Mjini.(Picha na Ikulu)
BAADHI ya Viongozi wa Serikali na Viongozi wa Timu mbalimbali zilizoshirika michuano ya 17 ya Kombe la Mapinduzi Cup 2023, wakati wa mchezo wa Fainali kati ya Mlandege na Singida Big Stars mchezo uliofanyika jana usiku 13-1-2023 uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja.Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.(Picha na Ikulu)
WACHEZAJI wa Timu ya Mlandege wakishangilia bao lao la pili dhidi ya Timu ya Singida Big Stars, katika mchezo wa Fainali uliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifuatili mchezo wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup 2023, mchezo uliofanyika katika Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja.Timu ya Mlandege imeshinda kwa bao 2-1, na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla.(Picha na Ikulu)
MSHAMBULIAJI wa Timu ya Singida Big Stars akiwapita mabeki wa Timu ya Mlandege wakati wa mchezo wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup 2023, mchezo uliyofanyika katika uwanja wa Amaan.Timu ya Mlandege imeshinda mchezo kwa bao 2-1.(Picha na Ikulu)


WAPENZI wa Timu ya Mlandege wakishangilia Timu yao baada ya kushinda bao la pili wakati wa mchezo wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup 2023, mchezo uliofanyika Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja jana usiku 13-1-2023.Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa na Viongozi mbalimbali wakishangilia Timu ya Mlandege baada ya kumalizika kwa mchezo wa Fainali, kati ya Timu ya Mlandege na Singida Big Stars, uliofanyika jana usiku 13-1-2023, katika Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja.Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi zawadi ya Kipa Bora wa Michuano ya 17 ya Kombe la Mapinduzi Cup 2023,kutoka Timu ya Mlandege. Yussuf Abdul Ali, baada ya mchezo wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi uliofanyika Uwanja wa Amani dhidi ya Timu ya Singida Big Stars, mchezo iliofanyika jana usiku 13-2023 katika uwanja wa amaan Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, wakishuhudia Waziri wa Habari,Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Mhe.Tabia Maulid Mwita akimkabidhi zawadi Mfungaji Bora wa Michuano ya 17 Kombe la Mapinduzi Cup 2023 kutoka Timu ya Singida Big Stares. Fancy Kazadi,baada ya kumalizika kwa mchezo wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi Cup, kati ya Mlandege na Singida uliofanyika Uwanja wa Amaan Unguja.(Picha na Ikulu)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimvisha Medali ya Dhahabu Mchezaji wa Timu ya Mlandege Mabingwa wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023, baada ya kuifunga Timu ya Singida Big Stars katika mchezo wa Fainali uliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja jana usiku13-1-2023. Kwa bao 2-1.(Picha na Ikulu)

WACHEZAJI wa Timu ya Mlandege wakishangilia Ubingwa wao wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023. Baada ya kuifunga Timu ya Singida Big Stars kwa mabao 2-1.(Picha na Ikulu)

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Mabingwa wa Kombe la Mapinduzi Cup 2023, Timu ya Mlandege baada ya kuwakabidhi Kombe la Ubingwa baada ya kuifunga Timu ya Singida Big Stars katika mchezo wa Fainali uliyofanyika katika Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja jana usiku 13-1-2023,Timu ya Mlandege imeshinda mchezo huo kwa bao 2-1.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.