Habari za Punde

Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan ahutubia Mabalozi pamoja na Waakilishi wa Mashirika ya Kimataifa katika Sherehe za Mwaka Mpya 2023 kwa Mabalozi hao (Diplomatic Sherry Party) Ikulu Jijini Dar es Salaam

Mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini pamoja na Waakilishi wa Mashirika ya Kimataifa wakiwa katika Sherehe za Mwaka Mpya (Diplomatic Sherry Party) zilizofanyika katika Ukumbi wa Kikwete, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 13 Januari, 2023.
Mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini pamoja na Waakilishi wa Mashirika ya Kimataifa wakiwa katika Sherehe za Mwaka Mpya (Diplomatic Sherry Party) zilizofanyika katika Ukumbi wa Kikwete, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 13 Januari, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini pamoja na Waakilishi wa Mashirika ya Kimataifa katika Sherehe za Mwaka Mpya 2023 kwa Mabalozi hao (Diplomatic Sherry Party) zilizofanyika katika Ukumbi wa Kikwete, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 13 Januari, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Stergomena Tax, viongozi wengine katika picha ya pamoja na Mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini katika Sherehe za Mwaka Mpya 2023 kwa Mabalozi hao (Diplomatic Sherry Party) zilizofanyika katika Ukumbi wa Kikwete, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 13 Januari, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Mabalozi mbalimbali wanaowakilisha nchi zao hapa nchini pamoja na Waakilishi wa Mashirika ya Kimataifa walioshiriki katika Sherehe za Mwaka Mpya 2023 kwa Mabalozi hao (Diplomatic Sherry Party) zilizofanyika katika Ukumbi wa Kikwete, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 13 Januari, 2023.




 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.