RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Balozi wa Urusi Nchini
Tanzania Mhe.Andrey Avetisyan, alipofika
Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha leo 1-2-2023. mazungumzo
hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Balozi
wa Urusi Nchini Tanzania Mhe.Andrey Avetisyan, alipofika Ikulu Jijini Zanzibar
kwa mazungumzo na kujitambulisha leo 1-2-2023, mazungumzo hayo yaliyofanyika
katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akizungumza na Balozi wa Urusi Nchini Tanzania Mhe.Andrey Avetisyan , alipofika
Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulisha leo 1-2-2023, mazungumzo
hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akifurahia jambo na Balozi wa Urusi Nchini
Tanzania Mhe. Andrey Avetisyan, wakiwa katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, baada
ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika leo 1-2-2023, alipofika kwa ajili ya
mazungumzo na kujitambulisha
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimkabidhi zawadi ya Mlango wa Zanzibar mgeni wake Balozi wa Urusi Nchini Tanzania.Mhe.
Andrey Avetisyan, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi
wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 1-2-2023,
alipofika kwa ajili ya mazungumzo na kujitambulisha
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimkabidhi zawadi ya Mlango wa Zanzibar mgeni wake Balozi wa Urusi Nchini Tanzania.Mhe.
Andrey Avetisyan, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi
wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 1-2-2023,
alipofika kwa ajili ya mazungumzo na kujitambulisha
No comments:
Post a Comment