Waziri wa Utalii na Mali Asili Tanzania Mh Mohammed Omar Mchengerwa akishuhudia utiaji saini wa MoU ya ushirikiano baina ya Kamisheni ya Utalii Zanzibar (ZCT) na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) ambapo kwa upande wa ZCT Amesaini Bi Aviwa Issa Makame ambae ni Kaimu Katibu Mtendaji na kwa upande wa TTB amesaini Bw Damasi Mfugale DG TTB. Tukio hilo limefanyika jijini Arusha katika ukumbi wa AICC mara tu baada uzinduzi wa bodi za TANAPA NA TTB.
Mapato yasiyo ya kodi yafikia asilimia 67, OMH yadhamiria kufikia lengo la
mwaka
-
Serikali, kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina (OMH), imeendelea kuonesha
mafanikio makubwa katika ukusanyaji wa mapato yasiyo ya kodi, baada ya
kukusanya S...
59 seconds ago
No comments:
Post a Comment