Waziri wa Utalii na Mali Asili Tanzania Mh Mohammed Omar Mchengerwa akishuhudia utiaji saini wa MoU ya ushirikiano baina ya Kamisheni ya Utalii Zanzibar (ZCT) na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) ambapo kwa upande wa ZCT Amesaini Bi Aviwa Issa Makame ambae ni Kaimu Katibu Mtendaji na kwa upande wa TTB amesaini Bw Damasi Mfugale DG TTB. Tukio hilo limefanyika jijini Arusha katika ukumbi wa AICC mara tu baada uzinduzi wa bodi za TANAPA NA TTB.
Uchumi : Benki ya STANBIC Yazindua Maboresho ya Huduma ya "STANBIC Private
Banking " Jijini Mwanza
-
Meneja wa Benki ya Stanbic Tawi la Mwanza, Geofrey Makondo, akizungumza na
baadhi ya wateja wao wa Mkoani Mwanza, katika hafla ya uzinduzi rasmi wa
mab...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment