Habari za Punde

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan azungumza na Wananchi wa Kilwa Mkoani Lindi

 

Muonekano wa Boti za Kisasa za Uvuvi pamoja na vifaa vyake katika Bandari ya Uvuvi Kilwa Masoko Mkoani Lindi tarehe 19 Septemba, 2023.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Aliyewahi kuwa Mbunge wa Kilwa Kusini Suleiman Said Bungara Maarufu (Bwege) mara baada ya kuwahutubia Wananchi wa Kilwa Masoko Mkoani Lindi 
Shamrashamra za Watoto wakati wa mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika eneo la Bandari ya Uvuvi Kilwa Masoko Mkoani Lindi 
Shamrashamra za Watoto wakati wa mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika eneo la Bandari ya Uvuvi Kilwa Masoko Mkoani Lindi
Shamrashamra za Watoto wakati wa mapokezi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika eneo la Bandari ya Uvuvi Kilwa Masoko Mkoani Lindi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi katika Mkutano wa hadhara uliofanyika Kilwa Masoko Mkoani Lindi ikiwa ni muendelezo wa ziara yake katika Mikoa ya Kusini tarehe 19 Septemba, 2023.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.