Wazee wakiwa katika vazi rasmini la Utamaduni wa Zanzibar Baibui la Ukaya na Kanga za Kisutu wakisuka ukiwa wakati wa Ufunguzi wa Tamasha la Utamaduni wa Mzanzibar linalofanyika katika viwanja vya Mao Zedung Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, kwa maonesho mbalimbali.
Uchumi : Gavana Tutuba Ahimiza Matumizi zaidi ya Rasilimali za Ndani ya
Ukanda wa Afrika Mashariki (EAC)
-
Benki Kuu katika ukanda wa Afrika Mashariki (EAC) zimehimizwa kuweka
kipaumbele katika kutumia rasilimali zao kwa ajili ya maendeleo yao, na
kupunguza ut...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment