Wazee wakiwa katika vazi rasmini la Utamaduni wa Zanzibar Baibui la Ukaya na Kanga za Kisutu wakisuka ukiwa wakati wa Ufunguzi wa Tamasha la Utamaduni wa Mzanzibar linalofanyika katika viwanja vya Mao Zedung Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, kwa maonesho mbalimbali.
TAMASHA LA UTALII NA UWEKEZAJI KISIWA CHA MAFIA LAZINDULIWA
-
Na Mwamvua Mwinyi, Pwani
SERIKALI Mkoani Pwani, imedhamiria kufungua Kisiwa cha Mafia katika nyanja
ya Uchumi wa Bluu pamoja na kukitangaza ulimwenguni ...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment