Wazee wakiwa katika vazi rasmini la Utamaduni wa Zanzibar Baibui la Ukaya na Kanga za Kisutu wakisuka ukiwa wakati wa Ufunguzi wa Tamasha la Utamaduni wa Mzanzibar linalofanyika katika viwanja vya Mao Zedung Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar, kwa maonesho mbalimbali.
WANANCHI WATAKIWA KUFAHAMU MNYORORO WA UGAVI
-
Afisa Ugavi Mwandamizi wa Idara ya Sera za Ununuzi wa Umma, Bi. Vaileth
Mwakajisi (wa pili kulia) akipewa mkono wa pongezi na Msanii wa Sanaa ya
Uchekesh...
3 minutes ago
No comments:
Post a Comment