Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Lela Muhamed Mussa akiwatunza Wanafunzi kutoka Skuli ya Maandalizi Kidutani kwa kucheza ngoma ya mwanandege wakati wa sherehe za kuzindua mradi wa kuimarisha ubora wa elimu ya lazima Zanzibar ambapo mgeni rasmi mhe Hemed Suleiman Abdullah makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar katika viwanja vya Skuli ya Msingi Salim Turkey Mpendae
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watuhumiwa wanne wakiwa na
jumla ya vipande 23 vya meno
-
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limewakamata watuhumiwa wanne wakiwa na
jumla ya vipande 23 vya meno ya Tembo, katika operesheni iliyoshirikisha
askari ...
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment