Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Lela Muhamed Mussa akiwatunza Wanafunzi kutoka Skuli ya Maandalizi Kidutani kwa kucheza ngoma ya mwanandege wakati wa sherehe za kuzindua mradi wa kuimarisha ubora wa elimu ya lazima Zanzibar ambapo mgeni rasmi mhe Hemed Suleiman Abdullah makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar katika viwanja vya Skuli ya Msingi Salim Turkey Mpendae
TAKUKURU MKOA WA DODOMA YAFUATILIA MIRADI YA BILIONI 50 NA KUFANIKIWA
KUOKOA ZAIDI YA MILIONI 13
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa of wa Dodoma Christopher Myava amesema katika
utendaji kazi wa Takukuru mkoani humo katika kipin...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment