Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe Lela Muhamed Mussa akiwatunza Wanafunzi kutoka Skuli ya Maandalizi Kidutani kwa kucheza ngoma ya mwanandege wakati wa sherehe za kuzindua mradi wa kuimarisha ubora wa elimu ya lazima Zanzibar ambapo mgeni rasmi mhe Hemed Suleiman Abdullah makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar katika viwanja vya Skuli ya Msingi Salim Turkey Mpendae
KAIMU MKURUGENZI MKUU FCC ATEMBELEA BANDA LA WMA SABASABA
-
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC) Tanzania bi.Hadija Juma
Ngasongwa akisaini kitabu Cha wageni mara baada ya kutembelea banda la
Wakala Wa V...
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment