Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akizungumza akiwa kwenye Dhifa ya Kitaifa aliyoandaliwa na Mwenyeji wake Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema, Jijini Lusaka tarehe 23 Oktoba, 2023.
Rais
wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema akizungumza kwenye Dhifa ya Kitaifa
aliyomuandalia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu,
Jijini Lusaka tarehe 23 Oktoba, 2023.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akigonganisha glass cheers
na viongozi wengine wakati wa Dhifa ya Kitaifa aliyoandaliwa na mwenyeji wake Rais
wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema, Jijini Lusaka tarehe 23 Oktoba, 2023.
Viongozi mbalimbali wakiwa wamesimama kwa Heshima ya Wimbo wa Taifa wa Tanzania uliokuwa ukiimbwa wakati wa Dhifa ya Kitaifa aliyoandaliwa na Rais wa Zambia Mhe. Hakainde Hichilema, Jijini Lusaka tarehe 23 Oktoba, 2023.
No comments:
Post a Comment