Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi Amepongezwa kwa Uongozi wake wa Miaka Mitatu na UWT Viwanja vya Maisara Jijini Zanzibar leo

 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Mwinyi akimsalimia Mama Fatma Karume alipowasili katika Jukwaa Kuu la Viongozi  wakati wa Mkutano Maalum wa Kumpongeza  kwa Uongozi wake wa Miaka Mitatu, ulioandaliwa na Jumuiya wa Wanawake Tanzania (UWT)  ya Chama Cha Mapinduzi.
MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara. Ndg. Abdulrahaman Kinana wakisoma toleo maalumu la Miaka Mitatu ya Uongozi wake Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, wakati wa Mkutano Maalum wa Kumpongeza uliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 4-11-2023, ulioandaliwa na Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT)( 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, akifuatilia burudani wakati Msanii Dulla Makabila akitowa burudani watika wa Mkutano Maalum wa Kumpongeza kwa Uongozi wake wa Miaka Mitatu, uliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 4-11-2023, na (kushoto kwa Rais) Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Mohammed Said Dimwa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein na Makamu Mwenyekiti wa (UWT) Taifa Mhe.Zainab Shomar na (kulia kwa Rais) Mwenyekiti wa (UWT) Taifa Mhe.Mary Chatanda na Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara Mhe. Abdulrahaman Kinana







MKE wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi akijumuika na Wananchi katika burudani ya Taarab wakati Msanii Khadija Kopa akitowa burudani katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 4-11-2023, wakati wa Mkutano Maalum wa Kumpongeza Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa Uongozi wake wa Miaka Mitatu
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Taifa Mhe.Jokate Mwengelo homar akizungumza katika mkutano Maalum wa Kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kwa Uongozi wake wa Miaka Mitatu ya maendeleo Zanzibar, uliyofanyika katika viwanja vya Msaisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 4-11-2023

Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Taifa Mhe.Zainab Shomar akizungumza katika mkutano Maalum wa Kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kwa Uongozi wake wa Miaka Mitatu ya maendeleo Zanzibar, uliyofanyika katika viwanja vya Msaisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 4-11-2023
MWENYEKITI  wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) Taifa Mhe.Mary Chatanda akizungumza katika mkutano Maalum wa Kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kwa Uongozi wake wa Miaka Mitatu ya maendeleo Zanzibar, uliyofanyika katika viwanja vya Msaisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 4-11-2023.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalum iliyotolewa na UWT Taifa ya kumpongeza kwa Uongozi wake wa Miaka Mitatu, akikabidhiwa na Mwenyekiti wa UWT Taifa Mhe. Mary Chatanda, wakati wa mkutano huo uliyofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja leo 4-11-2023.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalum iliyotolewa na UWT Taifa ya kumpongeza kwa Uongozi wake wa Miaka Mitatu, akikabidhiwa na Mwenyekiti wa UWT Taifa Mhe. Mary Chatanda, wakati wa mkutano huo uliyofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja leo 4-11-2023.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhi hundi ya Shilingi 75,000,000/= kwa Viongozi wa Vikundi 17 vya Wajasiriamali Wanawake Zanzibar, wakati wa Mkutano Maalum wa Kumpongeza kwa Uongozi wake wa Miaka Mitatu, mkutano huo ulioyofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 4-11-2023.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhi hundi ya Shilingi 75,000,000/= kwa Viongozi wa Vikundi 17 vya Wajasiriamali Wanawake Zanzibar, wakati wa Mkutano Maalum wa Kumpongeza kwa Uongozi wake wa Miaka Mitatu, mkutano huo ulioyofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 4-11-2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika Mkutano Maalum wa Kumpongeza kwa Uongozi wake wa Miaka Mitatu, ulioandaliwa na Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) yac CCM  uliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja leo 4-11-2023.



WAFANYAKAZI wa Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar wakishingilia wakati wa Mkutano wa Kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa Uongozi wake wa Miaka Mitatu, mkutano huo uliofanyika katika Viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja, ulioandaliwa na Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT)


BAADHI ya Wananchi  kutoka Mikoa mbalimbali wakishangilia katika Mkutano wa Kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa Uongozi wake wa Miaka Mitatu, mkutano huo uliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja, ulioandaliwa na Jumuiya wa Wanawake Tanzania (UWT)

WAKE wa Viongozi Wastafu wakifuatilia Mkutano Maalum wa Kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kwa Uongozi wake wa Miaka Mitatu,mkutano huo uliyofanyika katika Viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 4-11-2023.

VIONGOZI wa UWT Taifa wakifuatilia Mkutano Maalum wa Kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, kwa Uongozi wake wa Miaka Mitatu uliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja Jijini Zanzibar leo 4-11-2023
BAADHI ya Wanawake wa UWT kutoka Mikoa mbalimbali wakishangilia katika Mkutano wa Kumpongeza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi kwa Uongozi wake wa Miaka Mitatu, mkutano huo uliofanyika katika viwanja vya Maisara Suleiman Wilaya ya Mjini Unguja, ulioandaliwa na Jumuiya wa Wanawake Tanzania (UWT) 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.