Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame kabla ya kuanza
kwa Mkutano wa Kimataifa wa 23 wa Baraza la Utalii Duniani (WTTC) unaofanyika
katika ukumbi wa Mikutano wa Kigali (Kigali Convention Centre) nchini Rwanda
tarehe 02 Novemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame kabla ya kuanza kwa
Mkutano wa Kimataifa wa 23 wa Baraza la Utalii Duniani (WTTC) unaofanyika
katika ukumbi wa Mikutano wa Kigali (Kigali Convention Centre) nchini Rwanda
tarehe 02 Novemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame kabla ya kuanza kwa
Mkutano wa Kimataifa wa 23 wa Baraza la Utalii Duniani (WTTC) unaofanyika
katika ukumbi wa Mikutano wa Kigali (Kigali Convention Centre) nchini Rwanda
tarehe 02 Novemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia
Suluhu Hassan akiwa na Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame wakati wakielekea kwenye
Mkutano wa Kimataifa wa 23 wa Baraza la Utalii Duniani (WTTC) unaofanyika
katika ukumbi wa Mikutano wa Kigali (Kigali Convention Centre) nchini Rwanda
tarehe 02 Novemba, 2023.
Kikundi cha ngoma za Utamaduni chenye asili ya
Rwanda kikitumbuiza kwenye Mkutano wa Kimataifa wa 23 wa Baraza la Utalii
Duniani (WTTC) unaofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kigali (Kigali
Convention Centre) nchini Rwanda tarehe 02 Novemba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye Mkutano wa Kimataifa wa 23 wa Baraza la Utalii Duniani (WTTC) unaofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kigali (Kigali Convention Centre) nchini Rwanda tarehe 02 Novemba, 2023.
Viongozi pamoja na wageni mbalimbali waliohudhuria Mkutano wa Kimataifa wa 23 wa Baraza la Utalii Duniani (WTTC) unaofanyika katika ukumbi wa Mikutano wa Kigali (Kigali Convention Centre) nchini Rwanda tarehe 02 Novemba, 2023.
No comments:
Post a Comment