Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele (kulia) akishiriki Matembezi ya ufunguzi wa wiki ya sheria Kitaifa Mkoani Dodoma Januari 27,2024. Matembezi hayo yaliongozwa na Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Akson na viongozi wengine mbalimbali wa Makama. Maadhimisho ya Wiki ya sharia yalianza Januari 24,2024 na yanataraji kufikia tamati Februari 1, mwaka huu. (Picha na NEC).
NIDA YARUHUSU NDUGU JAMAA KUCHUKULIANA KITAMBULISHO CHA TAIFA, YAWATOA HOFU
WANANCHI KUFUNGIWA NAMBA
-
Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, James Kaji akizungumza na waandishi wa habari
jijini Dar es Salaam leo Januari 21,2025. kuhusiana na masuala mbalimbali
ya Vitam...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment