Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele (kulia) akishiriki Matembezi ya ufunguzi wa wiki ya sheria Kitaifa Mkoani Dodoma Januari 27,2024. Matembezi hayo yaliongozwa na Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Akson na viongozi wengine mbalimbali wa Makama. Maadhimisho ya Wiki ya sharia yalianza Januari 24,2024 na yanataraji kufikia tamati Februari 1, mwaka huu. (Picha na NEC).
PPRA Yawahimiza Watanzania Kujisajili NEST Kushiriki Zabuni za Serikali
-
Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) imewataka Watanzania
kujisajili katika mfumo wa manunuzi wa kielektroniki wa NEST ili waweze
kunufaika na fu...
39 minutes ago
No comments:
Post a Comment