Habari za Punde

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla Asaini Kitabu cha Maombolezi Kufuatia Kifo cha Waziri Mkuu Mstaafu wa Tanzania Marehe Edward Lowassa

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Abdulla akiweka Saini katika kitabu cha maombolezo kufuatia kifo cha  Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Edward Ngoyai Lowassa wakati alipowasili katika Makazi ya Familia Masaki Jijini Dar es salaam leo tarehe 12 Februari 2024.

Imetolewa na Kitengo cha Habari (OMPR)

Tarehe.12.02.2024

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.