GARI Maalum la Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ)
likiwa limebeba Mwili wa Hayati Rais Mstaafu wa Tanzania Awamu ya Pili Alhajj Ali Hassan Mwinyi likipita katika
barabara ya Amani kuelekea katika Uwanja
wa New Amaan Complex Zanzibar kwa ajili ya kutowa heshima za mwisho kwa
Viongozi wa Kitaifa na Wananchi wa Zanzibar.
WAJANE wa Hayati Rais Mstaafu wa Tanzania Awamu
ya Pili Alhajj Ali Hassan Mwinyi Mama Khadija Mwinyi na (kulia ) Mama Siti Mwinyi wakiwasili katika
Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar kwa ajili ya kuagwa na kutowa heshima za
mwisho kwa Hayati Rais Mstaafu wa Tanzania Awamu ya Pili Alhajj Ali Hassan,
hafla hiyo iliyofanyika
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan na Rais wa
Zanzibar na Mweyekiti wa Baraza la Mapinduzi . Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi
wakitowa heshima za mwisho kwa Hayati Alhajj Ali Hassan Mwinyi Rais Mstaafu wa
Awamu ya Pili Tanzania, hafla hiyo
iliyofanyika katika viwanja vya New Amaan Complex Amaan Zanzibar
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan na Rais wa
Zanzibar na Mweyekiti wa Baraza la Mapinduzi . Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi
wakitowa heshima za mwisho kwa Hayati Alhajj Ali Hassan Mwinyi Rais Mstaafu wa
Awamu ya Pili Tanzania, hafla hiyo
iliyofanyika katika viwanja vya New Amaan Complex Amaan Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akisalimiana na kuagana na Makamu wa Rais wa Namibia Mhe. Netumbo Nandi Ndaitwah, baada ya kumaliza kutowa heshima za
mwisho kwa Hayati Rais wa Mstaafu wa Tanzania Awamu ya Pili Alhajj Ali Hassan Mwinyi, hafla hiyo iliyofanyika
katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.
VIONGOZI Wastaafu wakitowa heshima za mwisho kwa
Hayati Rais Mstaafu wa Tanzania Awamu ya Pili Alhajj Ali Hassan Mwinyi , wakati
wa hafla hiyo iliyofanyika katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar.
VIONGOZI wa Dini Zanzibar wakiwa wamebeba jeneza
likiwa na mwili wa Hayati Rais Mstaafu wa Tanzania Awamu ya Pili Alhajj Ali
Hassan Mwinyi, wakiwa katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Zanzibar kwa ajili
ya Sala ya Jeneza iliyofanyika katika Masjid hiyo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali na
Wananchi katika Sala ya jeneza ya kumsalia Hayati Rais Mstaafu wa Tanzania
Awamu ya Pili Alhajj Ali Hassan Mwinyi , iliyoongozwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar
Sheikh. Saleh Omar Kabi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Wananchi mbalimbali
baada ya kumalizika kwa Sala ya Jeneza
ya Hayati Rais Mstaafu wa Tanzania Awamu ya Pili Alhajj Ali Hassan
Mwinyi , iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Wananchi mbalimbali
baada ya kumalizika kwa Sala ya Jeneza
ya Hayati Rais Mstaafu wa Tanzania Awamu ya Pili Alhajj Ali Hassan
Mwinyi , iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi
akiweka mchanga katika kaburi la Hayati Rais Mstaafu wa Tanzania Awamu wa Pili
Alhajj Ali Hassan Mwinyi, wakati maziko hayo yaliyofanyika katika Kijiji cha
Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 2-3-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi na Wananchi
katika kuitikia dua ya kumuombea Hayati
Rais Mstaafu wa Tanzania Awamu ya Pili Alhajj Ali Hassan
Mwinyi.,ikisomwa na Mwenyekiti wa Baraza la Fatua Kenya Sheikh.Said Ahmad Ahmad
Badawiwi, baada ya kumalizika kwa
maziko ya Hayati Alhajj Ali Hassan Mwinyi, yaliyofanyika katika Kijiji cha
Mangapwani Mkoa wa Kaskazini Unguja leo 2-3-2024.
No comments:
Post a Comment