RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali wa
Serikali na Vyama vya Siasa na Wananchi katika kisomo cha Hitma na Dua ya kumuombea
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Awamu wa Pili Hayati Alhajj Ali
Hassan Mwinyi, iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan katika ukumbi wa Viwanja vya Maonesho Nyamazi
Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 3-3-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali wa
Serikali na Vyama vya Siasa na Wananchi katika kisomo cha Hitma na Dua ya kumuombea
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani Awamu wa Pili Hayati Alhajj Ali
Hassan Mwinyi, iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan katika ukumbi wa Viwanja vya Maonesho Nyamazi
Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 3-3-2024
WANANCHI mbalimbali wa Zanzibar,Dar es
Salaam na Nchi Jirani na Viongozi wa Serikali wakijumuika katika Kisomo cha
Hitma na Dua ya kumuobea Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu
ya Pili Hayati Alhajj Ali Hassan Mwinyi, iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan, iliyofanyika katika ukumbi wa Viwanja
vya Maonesho Nyamazi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 3-3-2024
WANAFUNZI kutoka Madrasa Fisabilillah Nyamazi
Wilaya ya Magharibu “B” Unguja wakijumuika na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika kisomo cha Hitma na
Dua ya kumuombea Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Pili Hayati
Alhajj Ali Hassan Mwinyi ,iliyofanyika katika ukumbi wa Viwanja vya Maonesho
Nyamazi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja iliyofanyika leo 3-3-2024
WANANCHI mbalimbali wa Zanzibar,Dar es
Salaam na Nchi Jirani na Viongozi wa Serikali wakijumuika katika Kisomo cha
Hitma na Dua ya kumuobea Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu
ya Pili Hayati Alhajj Ali Hassan Mwinyi, iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan, iliyofanyika katika ukumbi wa Viwanja
vya Maonesho Nyamazi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 3-3-2024
WANANCHI mbalimbali wa Zanzibar,Dar es
Salaam na Nchi Jirani na Viongozi wa Serikali wakijumuika katika Kisomo cha
Hitma na Dua ya kumuobea Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu
ya Pili Hayati Alhajj Ali Hassan Mwinyi, iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan, iliyofanyika katika ukumbi wa Viwanja
vya Maonesho Nyamazi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 3-3-2024
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia
Suluhu Hassan akizungumza na Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi, kabla
ya kuanza kwa Kisomo cha Hitma na Dua ya kumuombea Rais Mstaafu wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Awamu ya Pili Hayati Alhajj Ali Hassan Mwinyi,
iliyofanyika katika ukumbi wa Viwanja vya Maonesho Nyamazi Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja leo 3-3-2024
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia
Suluhu Hassan akijumuika na Viongozi mbalimbali, Wananfamilia na Wananchi wa
Zanzibar katika Kisomo cha Hitma na Dua ya kumuombea Rais Mstaafu wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Hayati Alhajj Ali Hassan Mwinyi, kilichofanyika katika ukumbi
wa Viwanja vya Maonesho Nyamazi Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 3-3-2024, na
(kulia kwa Rais) Mjane wa Hayati Rais Mstaafu wa Tanzania Alhajj Ali Hassan
Mwinyi, Mama Siti Mwinyi na (kushoto kwa
Rais) Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi katika kuitikia
dua ikishomwa na Sheikh Said Ahmad Ahmad kutoka Nchini Kenya (kulia kwa Rais )
na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi na (kushoto kwa Rais) Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdullah
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kutowa shukrani kwa
Viongozi wa Serikali na Wananchi, kwa ushirikiano wao katika maziko ya Baba
yake Mzazi Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Pili Hayati
Alhajj Ali Hassan Mwinyi, wakati wa kisomo cha Hitma na Dua ya kumuombeya
iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu
Hassan, iliyofanyika katika ukumbi wa Viwanja vya Maonesho Nyamazi Wilaya ya
Magharibi “B” Unguja leo 3-3-2024
VIONGOZI mbalimbali na Wananchi wakimsikiliza
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk,.Hussein Ali
Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na kutowa neno la shukrani, baada ya
kumalizika kwa Kisoma cha Hitma na Dua ya kumuombea Baba yake Mzazi Rais
Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhajj Ali Hassan Mwinyi,
iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.Samia Suluhu
Hassan, katika ukumbi wa Viwanja vya Maonesho Nyamazi Wilaya ya Magharibi “B”
Unguja leo 3-3-2024.
No comments:
Post a Comment