RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akibeba jeneza likiwa na mwili wa
marehemu Mbunge wa Jimbo la Kwahani Zanzibar Mhe.Ahmada Yahya Abdulwakil,katika
Msikiti wa Mpendae kwa ajili ya Ibada ya Sala ya Maiti iliyofanyika katika
Msikiti huo leo 9-4-2024 na kuzikwa Kijijini kwa Muyuni C Wilaya ya Kusini Mkoa
wa Kusini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali na
Wananchi katika Sala ya Maiti, kumsalia Mbunge wa Jimbo la Kwahani Zanzibar
Marehemu Mhe. Ahmada Yahya Abdulwakil aliyefariki jana na kuzikwa leo Kijijini
kwao Muyuni C Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja leo 9-4-2024RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Viongozi mbalimbali na
Wananchi katika kuitikia dua ikisomwa na Msaidizi Imamu Mkuu wa Msikiti wa
Mtoro Dar es Salaam Sheikh. Abdalla Mundhiri, baada ya kumalizika kwa Sala ya
Maiti, kumsalia Mbunge wa Jimbo la Kwahani Zanzibar Mhe. Ahmada Yahya
Abdulwakil iliyofanyika katika Msikiti wa Mpendae Wilaya ya Mjini Unguja leo
9-4-2024,aliyefariki jana na kuzikwa leo Kijijini kwao Muyuni C Wilaya ya
Kusini Mkoa wa Kusini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiweka mchanga katika kaburi la
Marehemu Mbunge wa Jimbo la Kwahani Zanzibar Mhe.Ahmada Yahya Abdulwakil,
aliyefariki jana na kuzikwa leo Kijiji kwao Muyuni C Wilaya ya Kusini Mkoa wa
Kusini Unguja leo 9-4-2024.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumika na Viongozi mbalimbali na
Wananchi katika kuitikia dua ya kumuombea Marehemu Mbunge wa Jimbo la Kwahani
Zanzibar Mhe.Ahmada Yahya Abdulwakil, ikisomwa na Katibu Mtendaji wa Mufti Mkuu
wa Zanzibar Sheikh.Khalid Ali Mfaume (hayupo pichani) na (kushoto kwa Rais)
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Alhajj Dkt.Mohammed Said Dimwa na (kulia kwa
Rais) Kaka wa Marehemu.Ndg. Hassan Yahya Abdulwakil na Rais wa Zanzibar Mstaafu wac Zanzibar Alhajj Dk. Ali Mohamed Shein,baada ya kumalizika kwa maziko hayo yaliyofanyika
Kijijini kwao Muyuni C Wilaya ya Kusini Unguja leo 9-4-2024

No comments:
Post a Comment