RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Masjid
Taq-wa Bweleo Wilaya ya Magharibi “B” Unguja, alipowasili katika viwanja vya msikiti
huo kwa ajili ya Ibada ya Sala ya Ijumaa na Dua Maalum ya kumuombea Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Pili Mstaafu Marehemu Alhajj Ali Hassan Mwinyi, iliyofanyika leo 31-5-2024,
baada ya Sala ya Ijumaa, dua hiyo iliyoandaliwa na Wazee wa Bweleo
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi wa Bweleo Wilaya
ya Magharibi “B” Unguja katika Kisomo cha Hitma na Dua ya kumuombea Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Pili Mstaafu Marehemu Alhajj Ali
Hassan Mwinyi, iliyofanyika katika Masjid Taq-wa Bweleo leo 31-5-2024, na
(kushoto kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi na (kulia kwa
Rais) Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Sheria,Katiba,Utumishi na Utawala Bora
Zanzibar Mhe.Haroun Ali Suleiman, iliyoandaliwa na Wazee wa BweleoWANANCHI wa Kijiji cha Bweleo Wilaya ya Magharibi “B” Unguja wakijumuika na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika kisomo cha Hitma na Dua ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Pili Mstaafu Marehemu Alhajj Ali Hassan Mwinyi, iliyoandaliwa na Wazee wa Bweleo iliyofanyika katika Masjid Taq –wa Bweleo leo 31-5-2024
BAADHI ya Wazee wa Bweleo Wilaya ya Magharibi “B” Unguja wakijumuika na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika kisomo cha Hitma na Dua ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Pili Mstaafu Marehemu Alhajj Ali Hassan Mwinyi, iliyofanyika katika Masjid Taq-wa Bweleo, baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa iliyofanyika leo 31-5-2024
WANANCHI wa Kijiji cha Bweleo Wilaya ya Magharibi “B” Unguja wakijumuika na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi, katika kisomo cha Hitma na Dua ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Pili Mstaafu Marehemu Alhajj Ali Hassan Mwinyi, iliyoandaliwa na Wazee wa Bweleo iliyofanyika katika Masjid Taq –wa Bweleo leo 31-5-2024.
SHEIKH Suleiman Zahir Khamis akihitimisha kisomo cha hitma ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Pili Mstaafu Marehemu Alhajj Ali Hassan Mwinyi, iliyofanyika katika Masjid Taq-wa Bweleo Wilaya ya Magharibi “B” Unguja leo 31-5-2024.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa
Bweleo na kutowa shukrani kwa niaba ya Familia, baada ya kumalizika kwa kisomo
cha Hitma na Dua ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya
Pili Mstaafu Marehemu Alhajj Ali Hassan Mwinyi, iliyofanyika leo 31-5-2024
katika Masjid Taq-wa Bweleo Wilaya ya Magharibi “B” Unguja
WANANCHI wa Kijiji cha Bweleo Wilaya ya
Magharibi “B” Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na kutowa
shukrani kwa Wananchi wa Bweleo kwa niaba ya familia, baada ya kumalizika kwa
Kisomo cha Hitma na Dua ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Awamu ya Pili Mstaafu Marehemu Alhajj Ali Hassan Mwnyi, iliyofanyika katika
Masjid Taq-wa Bweleo leo 31-5-2024
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi wa Bweleo Wilaya
ya Magharibi “B” Unguja katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar
Sheikh.Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa kisomo cha hitma na dua ya
kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Pili Mstaafu
Marehemu Alhajj Ali Hassan Mwinyi, iliyofanyika katika Masjid Taq-wa Bweleo leo
31-5-2024, baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya IjumaaRAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi wa Bweleo Wilaya
ya Magharibi “B” Unguja katika kuitikia dua ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar
Sheikh.Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa kisomo cha hitma na dua ya
kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Pili Mstaafu
Marehemu Alhajj Ali Hassan Mwinyi, iliyofanyika katika Masjid Taq-wa Bweleo leo
31-5-2024, baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala ya Ijumaa
WANANCHI wa Kijiji cha Bweleo Wilaya ya
Magharibi “B” Unguja wakijumuika na Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi
(hayupo pichani) katika kuitikia dua ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Awamu ya Pili Mstaafu Marehemu Alhajj Ali Hassan Mwinyi, ikisomwa
na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kisomo
cha hitma na dua iliyofanyika katika
Masjid Taq-wa Bweleo leo 31-5-2024.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa
Bweleo na kutowa shukrani kwa niaba ya Familia, baada ya kumalizika kwa kisomo
cha Hitma na Dua ya kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya
Pili Mstaafu Marehemu Alhajj Ali Hassan Mwinyi, iliyofanyika leo 31-5-2024
katika Masjid Taq-wa Bweleo Wilaya ya Magharibi “B” Unguja
No comments:
Post a Comment