Waziri wa Nchi Afisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Mhe.Dkt.Saada Mkuya akiwasili katika viwanja vya Baraza la Wawakilishi Chukwani kwa ajili ya kuwasilisha Bajeti ya Serikali kwa Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar leo 13-6-2024.
TUTAKAMILISHA MIRADI YOTE - DC MPOGOLO
-
Katika kuhakikisha miradi yote ya maendeleo inaleta tija kwa wananchi
wilayani Ilala, Mkoani Dar es salaam, Mkuu wa wilaya hiyo Edward Mpogolo
ameagiza v...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment