MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Zanzibar ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwapugia mkono na kuwasalimia Vijana wa
UVCCM alipowasili katika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar kwa ajili ya
uzinduzi wa Tamasha la Tumazima Zote Tunawasha Kijani, lililofanyika leo
10-8-2024 katika uwanja huo.
WAAZIMIA KUWABURUZA MAHAKAMANI WAHUJUMU MIUNDOMBINU YA UMEME TANDAHIMBA
-
-Wananchi watahadharishwa kuepuka vishoka
WENYEVITI wa Serikali za vijiji na vitongoji Wilaya ya Tandahimba Mkoa wa
Mtwara wamesema hawatakuwa na huruma kw...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment