Habari za Punde

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Husseinn Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na mgenin wake Balozi wa Tanzania Nchini Nigeria Mhe.Celestine Kakele, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kumuaga akilekea katika kituo chake cha kazi Nchini Nigeria, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 14-1-2025.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Balozi wa Tanzania Nchini Nigeria Mhe.Celestine Kakele, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kumuaga akielekea katika kituo chake cha kazi Nchini Nigeria, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 14-1-2025

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni wake Balozi wa Tanzania Nchini Nigeria Mhe.Celestine Kakele,baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 14-1-2025
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.