RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Balozi wa Tanzania Nchini Nigeria Mhe.Celestine Kakele, alipofika Ikulu Zanzibar kwa mazungumzo na kumuaga akielekea katika kituo chake cha kazi Nchini Nigeria, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 14-1-2025
SERIKALI YA MTAA MUUNGANO YAGUSA MAHITAJI YA WANANCHI
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV
SERIKALI ya Mtaa wa Muungano Marobo kata ya Goba Wilayani Ubungo, Jijini
Dar es salaam imepiga hatua kubwa ndani ya miezi m...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment