RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, ni mgeni rasmin katika Mahafali ya 24 ya
Chuo Kikuu cha Abdulrahaman Al-Sumait Chukwani Zanzibar, akisalimiana na Mkuu
wa Chuo Kikuu cha Abdulrahaman Al-Sumait Chukwani Zanzibar Rais Mstaafu wa
Zanzibar Mhe.Dkt. Amani Abeid Karume, alipowasili katika viwanja vya Chuo hicho
kwa ajili ya Mahafali yaliyofanyika leo 25-1-2025.
MANERUMANGO MABINGWA JAFO CUP 2024-25
-
Na Khadija Kalili, Michuzi TV
TIMU ya Tarafa ya Manerumango 'Mango' yenye Maskani yake Manerumango
Wilayani Kisarawe wameibua kuwa mabingwa katika fain...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment