RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, ni mgeni rasmin katika Mahafali ya 24 ya
Chuo Kikuu cha Abdulrahaman Al-Sumait Chukwani Zanzibar, akisalimiana na Mkuu
wa Chuo Kikuu cha Abdulrahaman Al-Sumait Chukwani Zanzibar Rais Mstaafu wa
Zanzibar Mhe.Dkt. Amani Abeid Karume, alipowasili katika viwanja vya Chuo hicho
kwa ajili ya Mahafali yaliyofanyika leo 25-1-2025.
HALMASHAURI YA WILAYA MBINGA YAKUSANYA BILIONI 12.4 KATI YA LENGO LA
KUKUSANYA BILIONI 8.2
-
Mbinga-Ruvuma.
Halimashauri ya Wilaya Mbinga Mkoani Ruvuma,imekufanikiwa kukusanya
Sh.bilioni 12.2 kati ya lengo la awali la kukusanya Sh.bilioni 8.4 had...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment