Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi Akimuapisha Kamishna Mpya wa ZRA Ikulu Jijini Zanzibar leo 12-2-2025

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Ndg. Said Kiondo Athumani kuwa Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) hafla hiyo ya uapisho iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 12-2-2025 na (kushoto kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said.
NDG. Said Kiondo Athumani akiapishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) kuwa Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) hafla hiyo iliyofanyika leo 12-2-2025 katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisaini hati ya kiapo ya Ndg. Said Kiondo Athumani,baada ya kumuapisha kuwa Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) hafla hiyo iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 12-2-2025 na (kushoto kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimpongeza Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) Ndg, Said Kiondo Athumani, baada ya kumalizika kwa hafla ya kumuapisha iliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 12-2-2025,  na (kushoto kwa Rais) Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.