Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj DkHussein Mwinyi Ajumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja Katika Iftaar Ukumbi wa Dkt.Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu Unguja

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi  akimkabidhi  sadaka ya Futari  Abdillah Iddi Riziki mkaazi wa Mgeni Haji Wilaya ya Kati Unguja, wakati wa  hafla ya Iftaar ya pamoja aliowaandalia Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja, iliyofanyika katika ukumbi wa Dkt.Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu jana  17-3-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akimkaribisha tende Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi, kwa ajili ya kufungulia saumu ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, wakati wa hafla ya Iftaar aliyowaandalia Wananchi  wa Mkoa wa Kusini Unguja iliyofanyika katika ukumbi wa Dkt. Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu Wilaya ya Kati Unguja,iliyofanyika jana 17-3-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja katika Iftaar ya pamoja aliyowaandalia katika ukumbi wa Dkt.Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja, iliyofanyika jana 17-3-2025.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akikabidhiwa zawadi maalumu, aliyoandaliwa na Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja, akikabidhiwa na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud, baada ya kumalizika kwa hafla ya Iftaar ya pamoja aliyowaandalia Wananchi wa Mkoa huo, iliyofanyika katika ukumbi wa Dkt. Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu Wilaya ya Kati Unguja, iliyofanyika jana 17-3-2025.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na kuwasalimia Wananchi wa Mkoa wa Kusini Unguja, baada ya kumalizika kwa hafla ya Iftaar ya pamoja aliyowaandalia Wananchi wa Mkoa huo, iliyofanyika katika ukumbi wa Dkt. Ali Mohamed Shein SUZA Tunguu Wilaya ya Kati Unguja iliyofanyika jana 17-3-2025.
WANANCHI wa Mkoa wa Kusini Unguja wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) akizungumza na kuwasalimia baada ya kumalizika kwa hafla ya Iftaar ya pamoja aliyowaandalia katika ukumbi wa Dkt.Ali Mohamed Shein, iliyofanyika jana 17-3-2025.

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.