Habari za Punde

WASIRA AZUNGUMZA NA SPIKA WA JAMHURI YA CUBA, OFISI NDOGO YA CCM LUMUMBA

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (Bara), Ndg. Stephen Wassira amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Baraza la Taifa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Cuba Esteban Lazo Hernandez na ujumbe wake waliofika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba, Dar es Salaam leo Machi 6, 2025.

Katika mazungumzo viongozi hao waliahidi kuendeleza ushirikiano wa kihistoria kati Chama Cha Mapinduzi na Chama cha Kikomunisti cha Cuba.


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.