Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwiny Alihutubia Baraza la Kumi la Wawakilishi Zanzibar na Kulivunja

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Spika wa Baraza la Wawakilishi Mhe. Zuberi Ali Maulid alipowasili katika viwanja vya jengo la Baraza la Wawakilishi Chukwani Jijini Zanzibar kwa ajili ya kulihutubia na kulivunja.
GWARIDE Maalumu la Kikosi cha FFU lililoandaliwa kwa ajili ya uvunjaji wa Baraza la Kumi la Wawakilishi Zanzibar, gwaride hilo lililofanyika katika viwanja vya Baraza Chukwani Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Jijini Zanzibar  23-6-2025,wakitowa salamu ya heshima kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipokea salamu ya heshima, wakati wa gwaride rasmin la Kikosi cha FFU lililoandaliwa kwa ajili ya uvunjaji wa Baraza la kumi la Wawakilishi Zanzibar,lililofanyika  23-6-2025, katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akipokea salamu ya heshima, wakati wa gwaride rasmin la Kikosi cha FFU lililoandaliwa kwa ajili ya uvunjaji wa Baraza la kumi la Wawakilishi Zanzibar,lililofanyika  23-6-2025, katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Chukwani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akikagua gwaride rasmini la Kikosi cha FFU lililoandaliwa kwa ajili ya uvunjaji wa Baraza la Kumi la Wawakilishi Zanzibar, lililofanyika katika viwanja vya Baraza Chukwani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar 23-6-2025

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akielekea katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar kwa ajili ya kulihutubia Baraza la Kumi la Wawakilishi na kulivunja, akiongozana na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe. Zuberi Ali Maulid.  23-6-2025.






















RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika paredi na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Zuberi Ali Maulid, baada ya kulihutubia na kulivunja Baraza la Kumi la Wawakilishi Zanzibar,uliyofanyika 23-6-2025 katika ukumbi wa Baraza Chukwani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar










RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Dkt. Amani Abeid Karume baada ya kulihutubia na kulivunja Baraza la Kumi la Wawakilishi Zanzibar,hafla hiyo iliyofanyika  23-6-2025, katika ukumbi wa Baraza Chukwani Wilaya ya Magharibi “B” Unguja Jijini Zanzibar.












 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.