RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimia na mgeni wake Mhe.Kate Osamor (MB)
Mjumbe Maalumu wa Biashara wa Serikali ya Uingereza kwa Afrika Mashariki,alipofika
Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na ujumbe wake mazungumzo hayo
yaliyofanyika leo 11-6-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika mazungumzo na mgeni wake
Mhe.Kate Osamor (MB) Mjumbe Maalumu wa Biashara wa Serikali ya Uingereza kwa
Afrika Mashariki, mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini
Zanzibar leo 11-6-2025RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na mgeni wake Mhe. Kate Osamor (MB) Mjumbe Maalumu wa Biashara wa Serikali ya Uingereza kwa Afrika Mashariki (kulia kwa Rais) akiwa na ujumbe wake mazungumzo hayo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 11-6-2025
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na mgeni wake Mhe.Kate Osamor (MB) Mjumbe Maalumu wa Biashara wa Serikali ya Uingereza kwa Afrika Mashariki,baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliyofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 11-6-2025
No comments:
Post a Comment