Mgombea wa Nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiomba Dua pamoja na Wasaidizi wake Ikulu Jijini Dar es Salaam kabla ya kuelekea katika uzinduzi wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa Chama cha hicho tarehe 28 Agosti 2025.
CAG AFANYA ZIARA ENEO LA HIFADHI YA NGORONGORO
-
Na Hamis Dambaya, Ngorongoro.
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Bw. Charles Kichere ametoa
wito kwa watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngo...
38 minutes ago
No comments:
Post a Comment