Mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Ridhiwani Jakaya Kikwete akizungumza katika mkutano wa Kampeni ya Uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, Ubunge na Udiwani Kata ya Lugoba na kuwaombea Kura, na kuinadi Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2025.
Wahitimu wa Furahika wahimiza kufuata maadili katika kazi
-
NA MWANDISHI WETU
WAHITIMU 121 wa Chuo cha Ufundi Stadi, Furahika wametakiwa kuzingatia
maadili wanapokwenda kwenye mafunzo kwa vitendo ili kupata fursa ya...
27 minutes ago





.jpg)


.jpg)




0 Comments