Habari za Punde

Mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze Mhe.Ridhiwani Kikwete Ainadi Ilani ya Uchaguzi ya CCM na Kumuombea Kura Mgombea Urais wa Tanzania kwa Tiketi ya CCM Mhe.Rais Samia Suluhu Hassan,Wabunge na Madiwani

Mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Ridhiwani Jakaya Kikwete  akizungumza katika mkutano wa Kampeni ya Uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, Ubunge na Udiwani Kata ya Lugoba  na kuwaombea Kura, na kuinadi Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2025.

 
















No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.