Mgombea Ubunge Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mhe.Ridhiwani Jakaya Kikwete akizungumza katika mkutano wa Kampeni ya Uchaguzi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan, Ubunge na Udiwani Kata ya Lugoba na kuwaombea Kura, na kuinadi Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2025.
LUKUVI AMSHUKURU RAIS SAMIA KWA KUZIDI KUMUAMINI
-
Na. Mwandishi Wetu-DODOMA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu
Mhe. Willium Lukuvi amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muu...
9 minutes ago






.jpg)


.jpg)




No comments:
Post a Comment