Habari za Punde

Michuano ya Kombe la Shirikisho Kati ya Azam na KMKM Mchezo Uliyofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar Timu ya Azam Imeshinda Bao 2-0

Mshambuliaji wa Timu ya Azam Feisal Salum (Feitoto) akijiandaa kupita beki wa Timu ya KMKM wakati wa mchezo wao wa Kombe la Shirikisho  mchezo uliyofanyika Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar, katika mchezo huo timu ya Azam imeshinda bao 2-0.  








No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.