BALOZI DK.NCHIMBI AMWAKILISHA RAIS SAMIA KUMUAGA HAYATI SONGAMBELE MKOANI
RUVUMA
-
Na Mwandishi Wetu,Songea
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi, amemwakilisha Rais na Mwenyekiti wa CCM Taifa ,D...
6 hours ago
hapa kariakoo ndani
ReplyDeleteduh! kama hapa ni kariakoo ndani kwa kweli hali si shwari kiwanjani hapo........pameoza
ReplyDeleteHapo ndo afadhali yao basi! walau panahubiriwa injili mtindo mmoja(sijuwi siku hizi mana nasikia kiwanja "kapewa mtu")pembeni hilo banda unaloliona kama sikosei ni jumba la kupiga tarabu nafikiri klabu ya zanzibar mordern kama bado ipo/ndiyo. Siku za karibuni hivi mpaka naondoka zanzibar baadhi ya maeneo ya uwanja huo yamegeuzwa maficho ya walaunga(mateja)na makahaba wanatoa huduma zao maeneo ya majanini kule mchana kweupe. nje pamegeuzwa eneo la biashara (achilia kule nyuma kwenye kituo cha daladala za Mpendae na Chukwani ambapo makahaba hukitumia kama eneo la kusubiri "gari"zao wanazozijuwa wao) nazungumza mlango wa kuingilia usiku panachezwa kamari kama kaumu luti vile.
ReplyDeleteKwa kweli si kariakoo ile yetu unakwenda unajisiikia hasa kama upo kiwanja cha kufurahishia watoto. Zile pembea tukipanga foleni hapa na kwa hajitumbo zimechakaa zimekuwa mbaya ni hatari tupu kwa watoto na tetenasi.
Ah, wapi Zanzibar, Margeyya...nehi....nehi...nehi!!!!
Najaribu kuweka sawa baadhi ya point za anonymous.
ReplyDeleteKiwanja sasa kipo chini ya ZSSF Zanzibar Social Security Fund ambao wana mchakato wa kukikarabati na kukijenga upywa kiwe cha kisasa.
Baadhi ya kero nyingi ulizozielezea tayari zmeshughuklikiwa kwani sasa kuna ulinzi wa kutosha kutoruhusu mambo mengi ambayo yaljitokeza
Lini ukarabati utaanza hilo sijui