Kilichonifurahisha katika picha hizi ni kuona jinsi gani akinamama wameweza kufikiria kupumzisha akili kwa kujishughulisha na michezo ambayo huhitaji kutumia mbinu na maarifa kuliko kukaa na kupiga soga au muda mwingi kutazama T.V.
Mbunge Ummy Mwalimu alivyoleta tabasamu kwa bodaboda Tanga kupitia leseni
za udereva
-
Na: Dk. Reubeni Lumbagala, Tanga
Usalama wa maisha ya binadamu ni jambo la msingi sana, na ndiyo maana
unapaswa kulindwa kwa gharama zote. Katika suala la...
8 hours ago
Mapara,
ReplyDeleteUwe unatwambia picha hizi zimepigwa eneo gani wakati gani na ikibidi hata majina ya wanaopigwa picha for authenticity reasons, otherwise hizi picha na ujumbe nimezipenda sana.
mdau Misri.