Kilichonifurahisha katika picha hizi ni kuona jinsi gani akinamama wameweza kufikiria kupumzisha akili kwa kujishughulisha na michezo ambayo huhitaji kutumia mbinu na maarifa kuliko kukaa na kupiga soga au muda mwingi kutazama T.V.
Washiriki zaidi ya 2000 kushiriki kongamano la mashirika yasiyo ya
kiserikali
-
WASHIRIKI zaidi ya 2000 kutoka ndani na nje ya Tanzania wanatarajiwa
kushiriki kongamano la mwaka la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs)
linalotara...
36 minutes ago
Mapara,
ReplyDeleteUwe unatwambia picha hizi zimepigwa eneo gani wakati gani na ikibidi hata majina ya wanaopigwa picha for authenticity reasons, otherwise hizi picha na ujumbe nimezipenda sana.
mdau Misri.