The Africa House Hotel iliyopo mitaa ya Shangani jirani na skuli ya Tumekuja eneo maarufu ambalo hujulikana kama ATC.
Ni kivutio kikubwa kwa Watalii wanaotembelea Zenj na hufika sana hapa hasa wakati wa jioni wakilisubiri jua likitua ili wapate kumbukumbu ya picha nzuri ya jinsi jua linavyotua visiwani.
hapa wapi.na hio ni nini?
ReplyDelete