Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akutana na kuzungumza na Ujumbe wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi kutoka
Umoja wa Afrika (AUEOM) ulioongozwa na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Botswana
na Kiongozi wa Misheni hiyo, Mhe. Mokgweetsi Masisi, Ikulu ndogo ya Tunguu,
Zanzibar
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan
amekutana na kuzungumza na Ujumbe wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi
kutoka ...
39 minutes ago

Najaribu kuangalia vyombo vya habari vilivyopo ila naona Microphone ya TBC tu. Hivi TVZ wapo au tukio hili sio muhimu?
ReplyDelete