Habari za Punde

HILI NDILO GAZETI LAKO LA ZANZIBAR LEO LIKIPITIWA NA MTOTO MDOOGO

UDONGO ufinyange ungali mbichi ndivyo ilivyo kwa mtoto huyu akijifunza kupata habari mbalimbali za Ndani na Nje ya Nchi yake akisoma gazeti la Serikali la Zanzibar leo hutolewa kila siku Zanzibar, akiwa katika mtaa wa Sokomuhogo mjini Unguja

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.