WAFANYAKAZI wa Soko Kuu la Mwanakwerekwe wakisafisha mitaro ya maji machafu ili kuweka miundombinu hiyo katika hali ya salama wakati huu wa mvua za hapa na pale zikinyesha katika Visiwa vya Zanzibar kusiwe na mrundikano wa maji machafu sokoni hapo na kuhatarisha afya za Wafanyabiashara na Wateja wanaofika sokoni.
Habari : THRDC yatoa Jacketi za usalama kwa JOWUTA
-
.Yamuomba Rais Maridhiano ya Kisiasa
Na. Vero Ignatus ,Dar es Saalam.
MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania(THRDC) umekabidhi jaketi
za usa...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment