WAFANYAKAZI wa Soko Kuu la Mwanakwerekwe wakisafisha mitaro ya maji machafu ili kuweka miundombinu hiyo katika hali ya salama wakati huu wa mvua za hapa na pale zikinyesha katika Visiwa vya Zanzibar kusiwe na mrundikano wa maji machafu sokoni hapo na kuhatarisha afya za Wafanyabiashara na Wateja wanaofika sokoni.
CHAN 2024 : Dar Kuzizima Ufunguzi wa CHAN24
-
Na Rahel Pallangyo
ARDHI ya Tanzania kwenye mji wenye pilikapilika, Dar es Salaam Agosti 2,
mwaka huu katika Uwanja wa Benjamin Mkapa utashuhudiwa uf...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment