FUNDI wa kusuka Vitanda vya Kamba akitanda moja ya Kitanda cha kamba cha aina ya kutumiwa na watalii katika Fukwe za Hoteli ya Kitalii kupumzikia wakati wa kuota jua kitanda kimoja cha aina hii huuzwa kwa Shillingi 25,000/= akiwa maeneo ya kiwanda chake Amani.
BARABARA KOROFI YA MABOGINI - KAHE KUJENGWA KWA LAMI- MHE MCHENGERWA
-
Na John Mapepele -Moshi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa leo
amekagua uharibifu wa barabara ya Spencon- Fongagate- Mabogi...
57 minutes ago
No comments:
Post a Comment