Habari za Punde

DK SHEIN AKUTANA NA UONGOZI WA OFISI YA MAKAMO WA RAIS

 Baadhi ya Maofisa wa idara za ofisi ya makamo wa kwanza wa Rais,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Maapinduzi,Dk Ali Mohammed Shein, alipokuwa akizungumza nao jana  
 Viongozi wa  Idara mbali mbali za Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais wakiwa katika mkutano wao na Mhe Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohammed Shein na kuona jinsi walivyojipanga katika utendaji wao, yakiwemo pia matatizo
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi  Dk Ali Mohammed Shein, akizungumza  na Uongozi wa Ofisi ya Makamo wa Kwanza wa Rais, katika ukumbi wa mikutano Ikulu, katika  mikakati  yake Mhe. Rais, kuzungumza na kila Wizara na Tasisi za Serikali, katika kuleta maendeleo ya nchi.

Picha na Ramadhan Othman, Ikulu

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.